Popular Posts

Tuesday, 18 December 2018

IJUE U.T.I NA MATIBABU YAKE


MAAMBUKIZI kwenye njia ya mkojo ( Urinary Tract Infection kifupi U.T.I) ni maambukizi yanayoshika nafasi ya pili kuupata mwili mara nyingi zaidi.

Maambukizi haya hufanya mtu kukosa raha na kwa baadhi ya watu hasa wanawake ni tatizo la kiafya linalojirudiarudia mara nyingi.

Kwa bahati mbaya ni kwamba tiba iliyozoeleka kwa U.T.I ni kutumia dawa za kuua bakteria (antibiotics) ambapo bakteria wanaosababisha ugonjwa huu wanaoitwa E.coli wameanza kuwa sugu dhidi ya hizi dawa hivyo kusababisha wagonjwa wengie kupata U.T.I sugu.

U.T.I ni mkusanyiko wa maambukizi eidha ya fangasi, virusi au bakteria ambayo yanatokewa kwenye njia ya mkojo ya mwanamke na mwanaume. Tunaposema njia ya mkojo tunaongelea figo zote mbili, mirija inayotoa mkojo kutoka kwenye figo hadi kwenye kibofu cha mkojo huitwa ureter, kibofu chenyewe  na mrija wa kutoa mkojo nje kutoka kwenye kibofu.

Kazi ya figo ni kuchuja maji yaliyopo kwenye damu na kutoa maji yaliyozidi na takamwili. Baada ya hapo mkojo huifadhiwa kwenye kibofu na baadaye kutolewa nje kupitia mrija wa urethra ambayo una misuli ya sphincter iliyopo kwenye uke na uume.

Bakteria wanaopatikana kwenye kinyesi ndiyo kwa kiasi kikubwa husababisha U.T.I. Hawa wanapoingia kwenye njia ya mkojo mwilini kwa kutumia kinga yake huweza kuwadhibiti, lakini inaposhindikana ndipo bakteria hawa husababisha madhara.

Kitendo cha kukojoa mara kwa mara husaidia kusafisha bakteria waliojishikiza kwenye njia ya mkojo na pia tezi dume hutoa majimaji kwa mwanaume ambayo huzuia ukuaji wa bakteria wabaya. Japo kuna kinga kubwa ya mwili dhidi ya U.T.I lakini bado kuna hatari ya kuugua ugonjwa huu ndiyo maana tunatakiwa kuwa makini zaidi.

KWA WANAWAKE
Wanawake wapo hatarini zaidi kupata maambukizi kwenye njia ya mkojo kutokana na kwamba njia yao ya mkojokuelekea kwenye kibofu ni fupi kwa hiyo bakteria wanaweza kusafiri haraka zaidi na kuleta athari kwenye kibofu. Sababu nyingine ni kwamba njia ya kutolea mkojo kwa mwanamke kwenye uke ipo karibu zaidi na mahali pa haja kubwa penye bakteria waletao maambukizi.

DALILI ZA U.T.I
Zifuatazo ni dalili za moja kwa moja kwa watu wazima kupatwa na ugonjwa huu kama vile kupata maumivu makali wakati wa kukojoa, kujisikia hali ya kuchomachoma kwenye kibofu wakati wa kukojoa, kujisikia kukojoa mara kwa mara na kutoa mkojo mdogo sana, maumivu ya misuli, maumivu chini ya tumbo, mkojo kuwa mwekundu au wa pink (dalili ya damu kwenye mkojo) na unaonuka na maumivu ya nyonga kwa wanawake na wakati mwingine kushindwa kujizuia mkojo.

AINA ZA MAAMBUKIZI
Kuna aina nyingi za maambukizi katika njia ya mkojo.

Maambukizi yanayotokea kwenye mirija ya urethra huitwa Urethritis na dalili zake ni kama maumivu ya mgongo wa chini, homa kali, mwili kutetemeka na kutapika, urethritis yaweza kusababishwa na bakteria wa E. coli na virusi pia wa herpes simplex. Kama maambukizi yametokea kwenye kibofu basi huitwa cystitis.

 Dalili za athari kwenye kibofu ni kama maumivu ya nyonga, mkojo wa mara kwa mara unaoambatana na maumivu makali na mkojo wenye damu.

Bakteria pia wanaweza kusafiri mpaka kwenye figo na kuathiri figo, aina hii ya maambukizi tunaita pyelonephritis. Dalili za kuwa figo zimepata athari ni maumivu wakati wa kukojoa hii ni kutokana na uwepo wa mawe ya figo ambayo hukwama kwenye mirija ya kutolea mkojo. Maambukizi kwenye njia ya mkojo hutokea pale bakteria wanapoingia kwenye njia ya mkojo, kujishikiza na kuanza kukua mpaka kuleta athari.

KWA TIBA YA UTI SUGU NA UNAPONA KABISA ANGALIA KWENYE VIDEO HII


Usisahau kusubscribe, kulike na kushare

Sunday, 16 December 2018

NJIA KUMI (10) ZA KUONDOA CHUNUSI NA MABAKA MABAKA MWILINI


1. Magadi Soda,
Magadi soda ni mazuri sana kwa kusafishia uso na haswa ukiwa na chunusi. Changanya kiasi kidogo cha magadi soda na maji ya kutosha kuunda kidonge kidogo na kisha weka au kandika kidonge hicho sehemu iliyoathirika na chunusi.
Kwa muda wa dakika 15 hadi 20 au mpaka ikauke, na kisha suuza kwa majiyasiyo ya moto. Unaweza kurudia rudia mara kadhaa kwa siku mpaka utakapoona athari za chunusi zimepotea.


2. Matango:
Unaweza kutumia Tango kwa kuondoa chunusi na hata kuondoa mabaka mabaka katika ngozi na kuifanya ngozi yako kuonekana yenye afya na yenye kuvutia.
Matango ni mazuri sana kwa kusafishia uso na haswa ukiwa na chunusi. Kata tango na kisha liponde ponde (unaweza kutumia blenda) kisha paka au kandika usoni. Acha likae kwa muda wa dakika 15 hadi 20 hivi, kisha suuza kwa maji baridi. Unaweza kurudia kwa siku mara mbili mpaka mara tatu hadi utakapopona.

3. Kitunguu Swaumu:
Unaweza kutumia kitunguu swaumu kuondoa chunusi. Matumizi ya Kitunguu swaumu huleta matokeo mazuri sana katika kuondoa chunusi usoni na hata kuuwa bakteria sababu kina kemikali (antiseptiki) inayozuia kukua kwa bakteria kwenye jeraha au ngozi iliyo athirika kwa chunusi au hata kwenye kidonda. Na pia ina viwango vya juu wa salfa (ni zuri kwa ajili ya kukausha mafuta kwenye ngozi ya mwili).
Twanga kitungu swaumu, au unaweza kukata nusu na kubandika sehemu iliyo na chunusi huku ukishikilia kwa dakika 5 mpaka 10, na kisha safisha na majibaridi. Waweza kufanya hivyo asubuhi na jioni

4. Mnanaa (Peppermint):
Unaweza kutumia majani ya Mnanaa kuondoa chunusi usoni. Majani ya mnanaa hutumika hata kwa wale wenye matatizo ya Mba kwenye kichwa.
Twanga majani machache au saga kisha weka sehemu iliyo athirika. Wacha mpaka pakauke na kisha safisha kwa maji baridi. Unaweza kufanya hivyo mara kadhaa kwa siku.

5. Limao:
Kata limao na kisha kwa kutumia kijiti chenye pamba kiloweke kwenye maji ya limao, sugua sehemu yenye chunusi, kisha acha pakauke, unaweza kurudia rudia kila baada ya masaa kadhaa.
Usitumie maji ya limao ya kwenye chupa (ya dukani), kwa sababu yanaweza kuwa yamewekwa kemikali zingine ili kuyahifadhi kiasi cha kuondoa ubora wa kemikali halisi za kwenye limao. Tumia limao halisi.

6. Asali:
Matumizi ya asali kutibu chunusi huwezesha ngozi, iwe na afya na nyororo. Kwa sababu kwenye asali kuna virutubisho vingi vyenye kazi ya kuua vimelea (bacteria) na kuzuia uchafu na kusinyaa kwa ngozi.
Weka asali kidogo sehemu ilio athirika na iache kwa muda mrefu kadri uwezavyo. Vilevile unaweza kupaka uso mzima au hata mwili mzima ukitaka. Sababu asali inarutubisha ngozi ya mwili na kuifanya iwe na afya na mwonekano mzuri. Ukisha ridhika na muda wa asali kwenye ngozi yako unaweza kusafisha kwa kutumia maji ya vuguvugu.

7. Papai:
Unaweza kushangaa, lakini matumizi ya papai yameonyesha matokeo mazuri sana katika kuondoa chunusi usoni na kusafisha sehemu zingine za mwili.
Ponda ponda kiasi kidogo cha papai na upakae sehemu yenye chunusi, kisha liache kwa muda mrefu kadri uwezavyo. Ukisha ridhika na muda unaweza kujisafisha kwa kutumia maji ya kawaida. Unaweza kurudia mara kadhaa kila siku kama unataka.

8. Dawa Ya Meno:
Unaweza kushangaa, lakini ushangazwi na matokeo mazuri ya meno yako kusafishika kwa dawa ya meno.
Kemikali zinazotumika kuuwa Bakteria wa kwenye meno, pia zina uwezo wa kupambana na bakteria wengine. Tumia dawa ya meno isiyo na gel (non-gel) paka kwenye chunusi. Ni vizuri ukatumia usiku wakati wa kwenda kulala, ila si vibaya ukipaka hata muda wa asubuhi au mchana mradi tu uwe na muda wa kutosha wa dawa kukauka ili iweze kufanya kazi vizuri.
Namna nyingine ni kuchanganya dawa ya meno na unga wa mahindi au ngano iliyosagwa na kuwa laini sana. Unaweza kupaka na kuiacha ikauke kwa dakika tano mpaka 10.
Safisha kwa sabuni. Mchanganyiko huu unasaidia kukausha chunusi.

9. Poda:
Unaweza kutumia baby powder kwa kupaka nyakati za usiku wakati wa kwenda kulala na kuiacha mpaka asubuhi.

10. Mvuke:
Unaweza kutumia mvuke (Steam/vapour) kuondoa mafuta yaliozidi kwenye ngozi ya uso wako. Kwa kujifukisha. Kwa wale ambao hawana mashine wanaweza kujaza sufuria au bakuli kwa maji ya moto na kujifunika kwa taulo huku ukielekeza uso wako kwenye sufuria au bakuli lenye maji yanayotoa mvuke kwa dakika 5 mpaka 10 hivi. Unaweza kufanya hivi pamoja na njia mojawapo nilizo zitaja hapo juu.

MHIMU: Kunywa maji ya kunywa kila siku glasi 8 mpaka 10, jishughulishe namazoezi ya viungo na ujiweke msafi kila mara.
Njia hizi za Asili zinaweza kuchukuwa muda kidogo mpaka kuona matokeo ya kuridhisha.
Njia zote hizi kama hazijaleta matokeo mazuri, tafadhali muone daktari wa ngozi au nenda hospitali iliyo karibu kwa uchunguzi zaidi wa ngozi yako.

Wednesday, 12 December 2018

KIJANA WA MIAKA 14, ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA



KIJANA MDOGO WA MIAKA 14 ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA

 GEORGE JUNIUS STINNEY, Jr.  ndiye kijana mdogo aliyehukumiwa kifo kwa kiti cha umeme mwaka 1944, baada ya wasichana wawili wa kizungu, Betty June binnicker wa miaka 11 na Mery Emma thames wa miaka 7.    baada kupotea na miili yao kuokotwa kesho yake ikiwa tayari wamekufa na mtu wa mwisho kuonekana akiongea na hawa watoto alikuw ni huyu kijana mwenye asili ya kiafrika George(14)

ANGALIA TUKIO ZIMA KATIKA VIDEO HII

                 R.I.P George  stinney, jr (14)

Friday, 19 October 2018

MO DEWIJ AELEZA WALIOMTEKA

Mo dewiji aeleza waliomteka  kuwa sio watanzania,,

Kwa mujibu wa video hii, hii ndiyo kauli ya mfanyabiashara Mo Dewji mara baada ya kupatikana.

- Akiwa na baadhi ya maafisa wakiongozwa na Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Polisi Dar es salaam, Lazaro Benedict Mambosasa; ambaye ameeleza namna Mo alivyopatikana.

Monday, 15 October 2018

SAUDI ARABIA VOWS RETALIATION IF PUNISHED OVER MISSING A JOUNALIST












And the saudi arabia said he will pay vengeance if the United States would punish economically for the murder of the author (JAMAL KHASHOGGI).

 However, the Ukrainian capital has ignored the threat. Two Senators of the REPUBLICAN have said the US Congress is still taking action, including the possibility of protesting Saudi Arab Arabism.

White House economist adviser LARRY KUDLOW refused to predict what TRUMP would do after promising to take action.

TRUMP promised strong measures if the United States had evidence that KHASHOGGI was killed in the Saudi Arabia Embassy in instanbul.


Translated into swahili language

Na saudi arabia yasema italipiza kisasi iwapo marekani itaiadhibu kiuchumi kwa tuhuma za mauaji ya mwandishi huyo,

Hata hivyo ikulu ya marekani imepuuza vitisho hivyo.
Maseneta wawili wa chama cha REPUBLICAN wamesema Bunge la Marekani liko tayali kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na uwezekekann wa kuzuia uuzaji siraha kwa Saudi arabia.

Mshauri wa masuala ya uchumi wa White House, LARRY KUDLOW alikataa kutabiri kile kitakachofanywa ma Raisi TRUMP baada ya kuahidi kuchukua hatua kali.

TRUMP aliahidi hatua kali kuchukuliwa iwapo marekani itakuwa na ushahidi kwamba KHASHOGGI aliuawa ndani ya ubalozi mdogo wa Saudi Arabia mjini instanbul.

Tuesday, 9 October 2018

MAKE MONEY IN REAL ESTATE



Hellow! Hellow!
 Every one dreaming to have a lot of money, luxoully life and need to invest in real and true estate(company) so as to get a positive results...now I know we are from different countries around the world also each person have his or her own business idea so 👇 down here in a comment launch your online business link with volution to share all over the world But on my side the best site to invest our money are:




 How about you? What is your business idea?

 You may join in our watsap group Click this link👉
https://chat.whatsapp.com/BelFVT5fXfH57Oy4zubt3G

Monday, 8 October 2018

PROPHET BUSHIRI VISIT THE FAMILIES OF JAMES NEE, BRIAN AND BESTON



Prophet bushiri after visiting those families 
He said i would like to take this moment and extend my warmest appreciation to every person who stood with me my wife and our ministry during the most trying times we went through,

The death of james nee and two others, brian and beston khama came to shock to all of us  a results our hearts simmered 

But with your prayers and continued support,God gaves us renewed strength to rise above the tragedy and help lead our departed three home, last night i took time to visit the families of the three and expressed to them that i am one of them, the bereaved, i have lost my spiritual son and it was beffiting that shock hands with family members in these trying times,

Lets continue to pray for the bereaved families as they pass through these times.

For more information👇

www.ayubuh.blogspot.com

HOT CRL COMMISSION REPORT TO ECG CHURCH RELEASED

Prophet Shepherd bushiri confirmed that ... The CRL Commission has just released the findings of their Section 7 Investigation into w...